iqna

IQNA

dar es salaam
Waislamu mjini Dar es Salaam, Tanzania wameshiriki katika matembelezo ya kuwakumbuka mateka wa Karbala na hasa Bibi Zainab SA.
Habari ID: 3470616    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/16

Shehe Mkuu wa Ahul Sunna, Dar es Salaam, Tanzania
Sheikh Mussa Salim Al Hadi , Shehe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Tanzania amehutubu katika hadhara ya Mashia na kusema Imam Hussein AS ni wa Waislamu wote duniani na kuadhimisha Ashura ni katika dhihiriso la nembo za Allah.
Habari ID: 3470614    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/15

Hawza Imam Swadiq (a.s) na Masjid al Ghadiir katika mji wa Dar es Salaam Tanzania imeshuhudia tukio la kupandishwa Bendera ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3470604    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/08